MMM
Mrejesho
Wasiliana Nasi
Barua Pepe
ENGLISH
KISWAHILI
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Bodi ya Nyama Tanzania
Mwanzo
Kuhusu TMB
Historia
Dira na Dhamira
Misingi Mikuu
Utawala
Muundo wa kiutawala
Majukumu ya Bodi
Wajumbe wa Bodi
Huduma Zetu
Usajili
Masoko
Ukaguzi
Ushauri wa Kiufundi
Machapisho
Sera
Sheria
Miongozo
Vipeperushi
Habari
Maktaba ya Picha
Maktaba ya Video
Habari
Matukio
Matangazo
Hotuba
Tozo
Ada ya Usajili na kuhuwisha
Ada ya Kusafirisha Bidhaa za nyama Nje na Ndani ya nchi
Huduma za Mtandao
Mfumo wa Usajili na vibali (MIMIS)
MMM
Mrejesho
Wasiliana Nasi
Barua Pepe
Bw. John Lucas Chassama
Kaimu msajili
Karibu
|
Wasifu
Naibu Katibu Mkuu wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Edwin Mhede (katikati) akipata maelezo kutoka kwa kaimu Msajili wa Bodi ya Nyama Tanzania Bw. John Chassama alipotembelea banda la bodi katika maonesho ya Nanenane Agosti 8, 2025 viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma.
Waziri Mkuu mstaafu Mhe. Mizengo Pinda akipokea zawadi ya kofia kutoka Union Meat Group alizokabidhiwa na Kaimu Msajili wa Bodi ya Nyama Tanzania Bw. John Chassama (katikati) alipotembelea banda la wadau wa bodi hiyo Union Meat Group na Kili Agro katika maonesho ya Nanenane yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma Agosti 7, 2025.
Mtaalam wa Bodi ya Nyama Tanzania Bw. Victor Angolile akiwapa elimu kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Mwakibete waliotembelea banda la bodi hiyo katika maonesho ya Nanenane nyanda za juu kusini katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya, Agosti 2, 2025
Maafisa wa Bodi ya Nyama Tanzania Elizabeth David (kushoto) na Martin Gordian (katikati) wakitoa elimu kwa wageni waliotembelea banda la Bodi hiyo katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma katika viwanja vya Chinangali jijini Dodoma Juni 23, 2025.
Afisa Masoko Mwandamizi kutoka Bodi ya Nyama Tanzania Bw. Bernard Laswai akitoa maelezo kwa Waziri wa Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Simbachawene (aliyeinama anasaini) katika maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma katika viwanja vya Chinangali jijini Dodoma, Juni 17, 2025.
Mmoja wa Wadau wa Bodi ya Nyama Tanzania aliyewezeshwa na Bodi hiyo kushiriki katika tamasha la nyama choma lililofanyika katika viwanja vya Kilimani jijini Dodoma JUni 14, 2025, akichoma nyama kwa ajili ya wateja wake katika tamasha hilo.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Khamis Hamza Chilo (kushoto) akipata maelezo juu ya jiko la kisasa la kuchomea nyama linalotumia gesi kutoka kwa Afisa Mifugo wa Bodi ya Nyama Tanzania Bi. Pendo Mtaki katika maonesho ya Wiki ya Mazingira yaliyofanyika jijini Dodoma kuanzia Juni 1 hadi 5, 2025.
Naibu Katibu Mkuu (Uvuvi) Dkt. Edwin Mhede (katikati) na Naibu Katibu Mkuu (mifugo) Abdul Mhinde kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi wakiwa katika banda la Bodi ya Nyama Tanzania kwenye maonesho ya wiki ya mazingira katika viwanja vya Jakaya Kikwete jijini Dodoma, Juni 5, 2025.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akiongea na Waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita, Mei 6, 2025 katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dodoma.
Kaimu Msajili wa Bodi ya Nyama Tanzania Bw. John Chassama akikabidhi cheti kwa mmoja wa washiriki wa mafunzo ya watoa huduma katika maduka ya nyama yaliyofanyika April 28, 2025 jijini Mwanza.
Previous
Next
Highlights | News
Mwenendo wa bei ya wastani ya mifugo katika mnada wa Pugu kwa wiki inayoishia ta...
BODI YA NYAMA YAPONGEZWA NA WANANCHI KATIKA UTOAJI WA VIBALI
Mwenendo wa bei ya wastani ya mifugo katika mnada wa Pugu kwa wiki inayoishia ta...
Mwenendo wa bei ya wastani ya mifugo katika mnada wa Pugu kwa wiki inayoishia ta...
Habari Mpya
Tazama Zaidi
Mwenendo wa bei ya wastani ya mifugo katika mnada wa Pugu kwa wiki inayoishia tarehe 20 Agosti 2025.
21 Aug, 2025
BODI YA NYAMA YAPONGEZWA NA WANANCHI KATIKA UTOAJI WA VIBALI
14 Aug, 2025
Mwenendo wa bei ya wastani ya mifugo katika mnada wa Pugu kwa wiki inayoishia tarehe 25 Julai 2025.
13 Aug, 2025
Mwenendo wa bei ya wastani ya mifugo katika mnada wa Pugu kwa wiki inayoishia tarehe 09July 2025.
21 Jul, 2025
Matangazo
Tazama Zaidi
TAARIFA YA ULIPIAJI WA HUDUMA ZITOLEWAZO NA BODI YA NYAMA
09 May, 2023
Bodi ya Nyama inawatangazia Wadau wake kuhusu mabadiliko ya mzunguko wa kuhuisha vyeti vya usajili
21 Feb, 2023
Wadau wa Tasnia ya Nyama waliolipia ada za Usajili kuanzia mwezi julai 2022 na kuhuisha wanatakiwa kuwasiliana na ofisi...
21 Feb, 2023
Bodi ya Nyama inawataka wafanyabiashara wa Nyama choma kupata usajili wa Bodi
21 Feb, 2023
Matukio
Tazama Zaidi
10
Dec 23
Maadhimisho ya siku ya Chakula duniani
World Food Day celebration
Not Located
08
Aug 23
Sikukuu ya nanenane
Nane nane Festival
NOT DEFINED
07
Jul 23
Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya dar es salaam
Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya dar es salaa...
Dar es Salaam Trade fair Graund
05
May 23
Siku ya yai na ndege wafugwao
Siku ya yai na ndege wafugwao
Dar es Salaam
Huduma
Taratibu za Kufanya Biashara ya Nyama na Mazao yake
Ushauri wa kiufundi
Ukaguzi
Masoko
Usajili wa Wadau wa Tasnia ya Nyama
Machapisho
30 Jul, 2025
Kanuni za Ukaguzi
30 Jul, 2025
Kanuni za Usajili
01 Jan, 2008
Sheria ya Haki za Wanyama
01 Jan, 2006
Sheria ya Tasnia ya Nyama
11 Jan, 2010
Wizara ya Mifugo na uvuvi mkakati wa maendeleo ya sekta ya mifugo.
Nifanyaje?
Tazama Zaidi
VIRUTUBISHO VINAVYOPATIKANA KATIKA NYAMA NYEUPE
Nyama nyeupe kama vile kuku na bata mzinga, hiki n...
VIRUTUBISHO VINAVYOPATIKANA KATIKA NYAMA NYEKUNDU
Nyama nyekundu ni chanzo cha virutubisho muhimu (v...
TOFAUTI KATI YA NYAMA NYEUPE NA NYAMA NYEKUNDU
Nyama nyekundu na nyama nyeupe ni aina mbili tofau...
KIWANGO CHA NYUZI JOTO (JOTORIDI) ZA JOKOFU LINAFAA KWA KUHIFADHI NYAMA
Jotoridi zuri kwa uhifadhi wa nyama katika jokofu...
UJUZI ANAOTAKIWA KUWA NAO MCHINJAJI AU WAKATAJI WA NYAMA
Wakataji wa nyama au wajulikanavyo kama wachinjaji...
Nyama Bora na Salama kwa Wote