Usajili wa Wadau wa Tasnia ya Nyama

Usajili wa Wadau wa Tasnia ya Nyama

MWONGOZO WA KUSAJILI NA KUOMBA VIBALI KATIKA TASNIA YA NYAMA

 

  1. USAJILI WA SHAMBA LA MIFUGO NA RANCHI

NYARAKA ZA

KUWASILISHWA

HATUA ZA

KUFUATWA

MUDA WA MCHAKATO

GHARAMA

MUDA WA UHAI WA USAJILI

  1. Namba ya Utambulisho wa  Mlipaji Kodi (TIN)
  2. Picha (passport size)
  3. Kitambulisho cha NIDA/Leseni/Mpiga kura
  4. Kama ni Kampuni/kikundi/taasisi ambatisha cheti cha  usajili wa kampuni/kikundi/taasisi
  5. Idadi ya Mifugo

 

 

 

  1. Kujaza fomu ya maombi Kupitia ; https://mimis.mifugo.go.tz au link hiyo kupitia www.tmb.go.tz
  2. Kuambatisha nyaraka husika
  3.  Kufanyiwa ukaguzi
  4. Kukamilisha Malipo
  5. Kudurufu (print) cheti

 

Siku 1

Inategemea na idadi ya mifugo katika shamba:

  1. Mashamba madogo ya kibiashara Tsh. 42,500
  2. Mashamba ya ukubwa wa kati ya kibiashara Tsh.95,000
  3. Mashamba makubwa ya kibiashara Tsh.170,000
  4. Mashamba ya wafugaji wasio wa kibiashara Tsh.70,000

Mwaka mmoja (July 1 to June).

Anahuisha kila mwaka

  1. USAJILI WA SHAMBA LA KUNENEPESHA MIFUGO

NYARAKA ZA

KUWASILISHWA

HATUA ZA

KUFUATWA

MUDA WA MCHAKATO

GHARAMA

MUDA WA UHAI WA USAJILI

  1. Namba ya Uthibitisho ya Mlipaji Kodi (TIN)
  2. Picha (passport size)
  3. Kitambulisho cha NIDA/Leseni/Mpiga kura
  4. Kama ni Kampuni/kikundi/taasisi ambatisha cheti cha  usajili wa kampuni/kikundi/taasisi
  5. Idadi ya Mifugo
  1. Kujaza fomu ya maombi Kupitia ; https://mimis.mifugo.go.tz au link hiyo kupitia www.tmb.go.tz
  2. Kuambatisha nyaraka husika
  3. Kufanyiwa ukaguzi
  4. Kukamilisha Malipo
  5. Kudurufu (print) cheti

 

Siku 1

Inategemea na idadi ya mifugo :

  1. Fedlotter  mdogo Tsh. 120,000
  2. Fedlotter wa size ya kati Tsh.170,000
  3. Fedlotter mkubwa Tsh.220,000

 

Mwaka mmoja (July to June). Anahuisha kila mwaka

  1. USAJILI WA WAFANYABIASHARA WA MIFUGO HAI

NYARAKA ZA

KUWASILISHWA

HATUA ZA

KUFUATWA

MUDA WA MCHAKATO

GHARAMA

MUDA WA UHAI WA USAJILI

  1. Namba ya Uthibitisho ya Mlipaji Kodi (TIN)
  2. Picha (passport size)
  3. Kitambulisho cha NIDA/Leseni/Mpiga kura
  4. Kama ni Kampuni/kikundi/taasisi ambatisha cheti cha  usajili wa kampuni/kikundi/taasisi

 

  1. Kujaza fomu ya maombi Kupitia ; https://mimis.mifugo.go.tz au link hiyo kupitia www.tmb.go.tz
  2. Kuambatisha nyaraka husika
  3. Kukamilisha Malipo
  4. Kudurufu (print) cheti

 

 

Siku 1

 

 

 

 

 

 

  1. Mfanyabiashara ya mifugo ndani ya nchi Tsh 70,000
  2. Mfanyabiashara ya mifugo kwenda nje ya nchi Tsh 70,000

 

Mwaka mmoja (July to June). Anahuisha kila mwaka

  1. USAJILI WA GARI LA KUBEBEA NYAMA

NYARAKA ZA

KUWASILISHWA

HATUA ZA

KUFUATWA

MUDA WA MCHAKATO

GHARAMA

MUDA WA UHAI WA USAJILI

  1. Namba ya Utambulisho ya Mlipaji Kodi (TIN)
  2. Fomu ya ukaguzi wa gari
  3. Picha (passport size)
  4. Kitambulisho cha NIDA/Leseni/Mpiga kura
  5. Kama ni Kampuni/kikundi/taasisi ambatisha cheti cha  usajili wa kampuni/kikundi/taasisi

 

  1. Kujaza fomu ya maombi Kupitia ; https://mimis.mifugo.go.tz au link hiyo kupitia www.tmb.go.tz
  2. Kuambatisha nyaraka husika
  3. Kufanyiwa ukaguzi
  4. Kukamilisha Malipo
  5. Kudurufu (print) cheti

 

 

Siku 1

Tsh 70,000

Mwaka mmoja (July to June). Anahuisha kila mwaka

      1. 5. USAJILI WA WASAMBAZAJI WA NYAMA

NYARAKA ZA

KUWASILISHWA

HATUA ZA

KUFUATWA

MUDA WA MCHAKATO

GHARAMA

MUDA WA UHAI WA USAJILI

  1. Namba ya Uthibitisho ya Mlipaji Kodi (TIN)
  2. Picha (passport size)
  3. Kitambulisho cha NIDA/Leseni/Mpiga kura
  4. Kama ni Kampuni/kikundi/taasisi ambatisha cheti cha  usajili wa kampuni/kikundi/taasisi

 

  1. Kujaza fomu ya maombi Kupitia ; https://mimis.mifugo.go.tz au link hiyo kupitia www.tmb.go.tz
  2. Kuambatisha nyaraka husika
  3. Kufanyiwa ukaguzi
  4. Kukamilisha Malipo
  5. Kudurufu (print) cheti

 

Siku 1

Tsh. 120,000

Mwaka mmoja (July to June). Anahuisha kila mwaka

      1. 6. USAJILI WA DUKA LA NYAMA / BUCHA

NYARAKA ZA

KUWASILISHWA

HATUA ZA

KUFUATWA

MUDA WA MCHAKATO

GHARAMA

MUDA WA UHAI WA USAJILI

  1. Namba ya Utambulisho ya Mlipaji Kodi (TIN)
  2. Fomu ya Ukaguzi wa bucha
  3. Picha (passport size)
  4. Kitambulisho cha NIDA/Leseni/Mpiga kura
  5. Kama ni Kampuni/kikundi/taasisi ambatisha cheti cha  usajili wa kampuni/kikundi/taasisi

 

  1. Kujaza fomu ya maombi Kupitia ; https://mimis.mifugo.go.tz au link hiyo kupitia www.tmb.go.tz
  2. Kuambatisha nyaraka husika
  3. Kufanyiwa ukaguzi
  4. Kukamilisha Malipo
  5. Kudurufu (print) cheti

 

Siku 1- 2

 

 

 

 

 

 

Inategemea na aina ya bucha

  1. Duka la nyama daraja la juu Tsh. 170,000
  2. Duka la nyama daraja la kati 120,000
  3. Duka la nyama daraja la kawaida Tsh. 95,000

Mwaka mmoja (July to June). Anahuisha kila mwaka

      1. 7. USAJILI WA MINADA YA MIFUGO

NYARAKA ZA

KUWASILISHWA

HATUA ZA

KUFUATWA

MUDA WA MCHAKATO

GHARAMA

MUDA WA UHAI WA USAJILI

  1. Namba ya Uthibitisho ya Mlipaji Kodi (TIN)
  2. Fomu ya Ukaguzi wa mnada
  3. Picha (passport size)
  1. Kitambulisho cha NIDA/Leseni/Mpiga kura
  1. Kama ni Kampuni/kikundi/taasisi ambatisha cheti cha  usajili wa kampuni/kikundi/taasisi
  2. Barua kutoka wizara mifugo
  1. Kujaza fomu ya maombi Kupitia ; https://mimis.mifugo.go.tz au link hiyo kupitia www.tmb.go.tz
  2. Kuambatisha nyaraka husika
  3. Kukamilisha Malipo
  4. Kudurufu (print) cheti

 

Siku 1 - 2

 

 

 

 

 

 

 

  1. TShs 220,000 kwa mnada wa awali
  2. TShs 220,000 kwa mnada ya Upili na mipakani

 

 

 

 

 

 

 

Cheti cha Usajili uhai wake ni mwaka mmoja (July to June). Anahuisha kila mwaka

      1. 8. USAJILI WA MACHINJIO

NYARAKA ZA

KUWASILISHWA

HATUA ZA

KUFUATWA

MUDA WA MCHAKATO

GHARAMA

MUDA WA UHAI WA USAJILI

  1. Namba ya Uthibitisho ya Mlipaji Kodi (TIN) <