Bw. John Lucas Chassama
John Lucas Chassama photo
Bw. John Lucas Chassama
Kaimu msajili

Barua pepe: barua@tmb.go.tz

Simu: 0784643242

Wasifu

John Lucas Chassama ni Mchumi mwenye Shahada ya Uzamili katika Biashara za Kimataifa (International Trade) kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Ndg Chassama ni Meneja wa Idara ya Maendeleo ya   Masoko wa Bodi ya Nyama Tanzania. Tangu tarehe 26 Februari 2023 amekuwa akikaimu nafasi ya Msajili wa Bodi ya Nyama Tanzania. Kabla ya kuwa Bodi ya Nyama Tanzania, Chassama alifanya kazi Wizara ya Viwanda na Biashara kama Mchumi, akiwa hapo alikuwa akitekeleza majukumu mbalimbali ikiwemo kufanya tafiti zinazohusu fursa za Uwekezaji katika Biashara na Masoko. Vilevile alikuwa msimamizi wa Mfumo wa taarifa za biashara za mifugo (Livestock Information Network and Knowledge System). Pia, Chassama ameshiriki kwenye tafiti mbalimbali ikiwemo “Linking Smallholders to Livestock Markets”, “Improvement on Hides & Skins Production and Marketing” &Analysis of Constrains to Exportation of Livestock Products,