10.Kwa mujibu wa sheria ya tasnia ya nyama namba 10 ya 2006, bucha zote nchini zinatakiwa kukaguliwa na kusajiliwa na Bodi ya nyama. Aidha wafanyakazi buchani wapate elimu ya utunzaji nyama toka VETA au Bodi ya Nyama.
IMETOLEWA NA MSAJILI
BODI YA NYAMA TANZANIA
02.12.2021
.
S.L.P 1344 DODOMA,
Area D, Mtaa wa Ndugai,
Barabara ya Magufuli
Nukushi : Simu : +255734210199 Barua pepe : barua@tmb.go.tz
Copyright ©2017 Tanzania Meat Board . All rights reserved.
Designed and Developed by e-Government Authority (eGA). Inaendeshwa na TMB.