• MMM
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Bodi ya Nyama Tanzania

  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya Bodi
    • Bodi ya Wakurugenzi
  • Huduma
    • Usajili
    • Masoko
    • Ukaguzi
    • Ushauri wa Kiufundi
    • Utaratibu wa Kufanya Biashara ya Nyama na Bidhaa zake
      • Utaratibu wa kufanya Biashara ya Nyama ndani ya nchi
      • Utaratibu wa kufanya Biashara ya Nyama na Bidhaa za Nyama nje ya nchi
  • Mfumo Usajili/Vibali
  • Machapisho
    • Sera
    • Sheria
    • Kanuni
    • Fomu
    • Vipeperushi
  • Taarifa za jumla
    • Hali ya Uzalishaji wa Nyama
    • Takwimu za Uingizaji/usafirishaji wa Nyama
  • Tozo
    • Tozo
    • Ada ya Usajili na Kubakisha
    • Ada za kuagiza na kuingiza Bidhaa za Nyama
  • Home
  • Page title

Tangazo la Usajili na Kulipa Ada kwa Wadau wote wa Nyama

Mpendwa Mdau, Bodi ya Nyama Tanzania imeshaanza matumizi ya mfumo wa kielectroniki kwa ajili ya usajili wa vibali uitwao MIMIS (mimis.mifugo.go.tz). Unatakiwa kuhuisha usajili wako wenye namba (Reg No) uliosajiliwa kwenye kundi la (Mdau) kwenye mfumo wa MIMIS ndani ya muda wa wiki mbili kuanzia 13/07/2022 mpaka tarehe 26/07/2022.Kama hujalipa ada ya kuhuisha usajili wako (Retention fee) za nyuma unatakiwa kulipia kabla ya kuingiza taarifa kwenye mfumo wa MIMIS na kama umelipa ambatanisha cheti na Barua au risiti ya malipo ya kuhuisha usajili wako.

Kwa maelezo zaidi naomba ufike ofisi za Bodi ya Nyama Tanzania ukiwa na kitambulisho kimoja wapo kati ya hivi:, Kitambulisho cha mpiga Kura,Taifa, Lesseni ya gari, Hati ya kusafiria pamoja na Cheti na Barua au risiti ya kuhuwisha usajili wako. Piga namba hizi za simu kwa mawasiliano Zaidi:, Dodoma 0767411195, Dar es Salaam 0688006874,Arusha 0767721245, Mwanza 0756758223 , Tabora 0762931960 na Mbeya 0756413027

Huduma

  • Huduma Zetu

Matangazo

  • TAARIFA YA MIFUGO KATIKA MNADA WA PUGU KWA WIKI INAYOISHIA DISEMBA 9, 2022 December 13, 2022
  • Mgawanyo wa Masoko Novemba 2022 December 13, 2022
  • orodha ya machinjio yaliyoidhinishwa kwa mauzo ya nje September 26, 2022
  • Wasafirishaji wa bidhaa za nyama waliosajiliwa na bodi ya nyama Tanzania September 26, 2022
Soma zaidi

Habari Mpya

  • add some text here to discribe the image

    Ripoti ya Taarifa ya Soko la Mifugo (Shoat) kwa Wiki inayoisha tarehe 20 Januari, 2022

    Jan 25, 2023
  • add some text here to discribe the image

    Taarifa ya Soko la Mifugo (Ng'ombe) kwa Wiki ya Wiki inayoisha tarehe 20 Januari 2022.

    Jan 25, 2023
  • add some text here to discribe the image

    Taarifa ya Soko la Mifugo (Ng'ombe) kwa Wiki ya Wiki inayoisha tarehe 20 Januari 2022.

    Jan 25, 2023
  • Habari Zaidi
Tanzania Census 2022

Wasiliana Nasi

S.L.P 1344 DODOMA,

Area D, Mtaa wa Ndugai,

Barabara ya Magufuli

Nukushi :
Simu : +255734210199
Barua pepe : barua@tmb.go.tz

Kurasa za Karibu

  • Utaratibu wa kufanya biashara ndani/nje ya nchi
  • Usajili

Tovuti Mashuhuri

  • TCCIA
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • TBS
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wakala ya Serkali Mtandao

Mitandao ya Kijamii

  • Sera ya Faragha
  • Angalizo
  • MMM
  • Ramani Ya Tovuti

Copyright ©2017 Tanzania Meat Board . All rights reserved.
Designed and Developed by e-Government Authority (eGA). Inaendeshwa na TMB.