• MMM
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Bodi ya Nyama Tanzania

  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya Bodi
    • Bodi ya Wakurugenzi
  • Huduma
    • Usajili
    • Masoko
    • Ukaguzi
    • Ushauri wa Kiufundi
    • Utaratibu wa Kufanya Biashara ya Nyama na Bidhaa zake
      • Utaratibu wa kufanya Biashara ya Nyama ndani ya nchi
      • Utaratibu wa kufanya Biashara ya Nyama na Bidhaa za Nyama nje ya nchi
  • Machapisho
    • Sera
    • Sheria
    • Kanuni
    • Fomu
    • Vipeperushi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Taarifa za jumla
    • Hali ya Uzalishaji wa Nyama
    • Takwimu za Uingizaji/usafirishaji wa Nyama
  • Tozo
    • Tozo
    • Ada ya Usajili na Kubakisha
    • Ada za kuagiza na kuingiza Bidhaa za Nyama
  • Kikokotozi
  • Mwanzo
  • 1.0 Ukaguzi wa Uzalishaji Mifugo, Nyama na Mazao yake

1.0 Ukaguzi wa Uzalishaji Mifugo, Nyama na Mazao yake


1.1 Lengo la Ukaguzi

Lengo la ukaguzi ni kuhakikisha wafugaji, wamiliki wa minada ya mifugo, wazalishaji nyama na mazao yake wanazingatia kanuni na miongozo ya uzalishaji ili kuzalisha nyama bora na salama kwa walaji. Aidha, mdau atakayetaka kukaguliwa kwa sababu zake binafsi atatakiwa kuchangia gharama za ukaguzi.

1.2 Mkaguzi

Ni mtumishi aliyeteuliwa kwa mujibu wa Sheria ya Nyama Na. 10 ya mwaka 2006 chini ya kanuni ya tisa (9) ya kupanga madaraja ya mifugo na chune (2010) kwa ajili ya kukagua eneo la kuzalisha mifugo (livestock production unit), minada ya mifugo, hati ya usajili, leseni, vitabu vya kumbukumbu na taarifa za kielektroniki zilizoko katika maeneo ya uzalishaji.

1.3 Maeneo ya Ukaguzi

  • Ukaguzi utafanywa katika maeneo yafuatayo:-
  • Ranchi
  • Wafugaji wa mifugo wa nyama wa aina zote kwa ajili ya biashara
  • Vyama vya wadau vinavyotambulika kisheria
  • Minada ya mifugo
  • Dalali wa Mifugo
  • Mwendesha Minada
  • Mfanyabiashara ya mifugo hai ndani na nje ya nchi, nyama (maduka ya Nyama) na mazao ya nyama
  • Wakala wa biashara ya nyama na mazao ya nyama
  • Watengenezaji na waagizaji wa mashine za uzalishaji wa nyama na pembejeo
  • Machinjio na Viwanda vya Nyama na bidhaa za Nyama
  • Waendesha matamasha ya Nyama
  • Waingizaji na wauzaji wa nyama ndani na nje ya nchi.
  • 1.4 Utaratibu wa Ukaguzi

    Utaratibu utakaofuatwa na Mkaguzi wakati wa kukagua utakuwa kama ifuatavyo;

  • Kufika katika eneo la ukaguzi na kujitambulisha kwa mmiliki wa eneo litakalokaguliwa
  • Kuwasiliana na mmiliki kwa njia ya kistaarabu, heshima na mamlaka
  • Kutoa maelezo ya kusudio la ujio wake
  • Kutumia njia za kidiplomasia, mbinu za ushawishi wa hali ya juu ili kupata taarifa za kina za eneo husika litakalokaguliwa
  • Kukagua eneo kulingana na vigezo vya ukaguzi
  • Kujadili matokeo ya ukaguzi na mmiliki, kuainisha mapungufu na kuelekeza namna ya kurekebisho mapungufu yaliyojitokeza
  • Huduma

    • Huduma Zetu

    Matangazo

    • BODI YA NYAMA TANZANIA KUANZA KUTUMIA MFUMO MKUU WA SERIKALI WA UKUSANYAJI MADUHULI (GePG) March 05, 2019
    • ORODHA YA WADAU WALIOSAJILIWA KUANZIA MWEZI SEPTEMBA HADI NOVEMBA 2018 February 25, 2019
    • WADAU WALIOSAJILIWA MIKOA YA TANZANIA BARA KUANZIA APRILI HADI AGOSTI 2018 February 11, 2019
    Soma zaidi

    Habari Mpya

    • add some text here to discribe the image

      Athari za matumizi ya Gogo kaztiaka uandaaji wa Nyama

      Sep 26, 2019
    • add some text here to discribe the image

      Wataalamu wa Bodi ya Nyama Tanzania (TMB) wakiwa katika picha ya pamoja na Wasambazaji

      Jul 31, 2019
    • add some text here to discribe the image

      Waziri wa Mifugo na Uvuvi MHE Luhaga Mpina akiweka jiwe la msingi kiwanda cha Nyama cha TANCHOICE

      Mar 27, 2019
    • Habari Zaidi

    Wasiliana Nasi

    S.L.P 6085 DSM,

    Veterinary Complex

    131 Barabara ya Nelson Mandela,

    Nukushi :
    Simu : +255734210199
    Barua pepe : info@tmb.go.tz

    Kurasa za Karibu

    • Utaratibu wa kufanya biashara ndani/nje ya nchi
    • Usajili

    Tovuti Mashuhuri

    • TARILI
    • TCCIA
    • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • TBS
    • Wizara ya Mifugo na Uvuvi

    Mitandao ya Kijamii

    • Sera ya Faragha
    • Angalizo
    • MMM
    • Ramani Ya Tovuti

    Copyright ©2017 Tanzania Meat Board . All rights reserved.
    Designed and Developed by e-Government Authority (eGA). Inaendeshwa na TMB.