1.1 Lengo la Ukaguzi
Lengo la ukaguzi ni kuhakikisha wafugaji, wamiliki wa minada ya mifugo, wazalishaji nyama na mazao yake wanazingatia kanuni na miongozo ya uzalishaji ili kuzalisha nyama bora na salama kwa walaji. Aidha, mdau atakayetaka kukaguliwa kwa sababu zake binafsi atatakiwa kuchangia gharama za ukaguzi.
1.2 Mkaguzi
Ni mtumishi aliyeteuliwa kwa mujibu wa Sheria ya Nyama Na. 10 ya mwaka 2006 chini ya kanuni ya tisa (9) ya kupanga madaraja ya mifugo na chune (2010) kwa ajili ya kukagua eneo la kuzalisha mifugo (livestock production unit), minada ya mifugo, hati ya usajili, leseni, vitabu vya kumbukumbu na taarifa za kielektroniki zilizoko katika maeneo ya uzalishaji.
1.3 Maeneo ya Ukaguzi
1.4 Utaratibu wa Ukaguzi
Utaratibu utakaofuatwa na Mkaguzi wakati wa kukagua utakuwa kama ifuatavyo;
S.L.P 6085 DSM,
Veterinary Complex
131 Barabara ya Nelson Mandela,
Nukushi : Simu : +255734210199 Barua pepe : info@tmb.go.tz
Copyright ©2017 Tanzania Meat Board . All rights reserved.
Designed and Developed by e-Government Authority (eGA). Inaendeshwa na TMB.