Misingi Mikuu

Misingi ya Taasisi
i.    Uadilifu - Maadili ya juu, uaminifu na kutopendelea
ii.    Uwajibikaji - Wajibu wa kutekeleza majukumu kulingana na sheria na kanuni zilizowekwa
iii.    Weledi - Uwezo, kuendana na mazingira, kuzungumza mbele ya watu na ujuzi binafsi unaotarajiwa kiutendaji
iv.    Mwitikio - Kuweka mazingira rafiki na kukidhi matarajio ya wateja
v.    Huduma bora – Jitihadi za kutimiza malengo yanayotarajiwa katika kipengele cha majukumu na wajibu wa Bodi.