• MMM
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Bodi ya Nyama Tanzania

  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya Bodi
    • Bodi ya Wakurugenzi
  • Huduma
    • Usajili
    • Masoko
    • Ukaguzi
    • Ushauri wa Kiufundi
    • Utaratibu wa Kufanya Biashara ya Nyama na Bidhaa zake
      • Utaratibu wa kufanya Biashara ya Nyama ndani ya nchi
      • Utaratibu wa kufanya Biashara ya Nyama na Bidhaa za Nyama nje ya nchi
  • Machapisho
    • Sera
    • Sheria
    • Kanuni
    • Fomu
    • Vipeperushi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Taarifa za jumla
    • Hali ya Uzalishaji wa Nyama
    • Takwimu za Uingizaji/usafirishaji wa Nyama
  • Tozo
    • Tozo
    • Ada ya Usajili na Kubakisha
    • Ada za kuagiza na kuingiza Bidhaa za Nyama
  • Kikokotozi
  • Mwanzo

Sera ya Faragha

SERA YA FARAGHA Sera hii ya faragha inahusu Tovuti ya Bodi ya Nyama Tanzania na Taasisi yoyote ya kisheria inayosimamia, thibitisha au kutumia taarifa zinazoweza kupatikana kupitia tovuti hii. Mtumiaji anaweza kuingia kwenye tovuti hii bila kutoa taarifa zake binafsi. Hata hivyo, mtumiaji anakubali kutumia takwimu kwa kuzingatia sera ya faragha. Ikumbukwe kuwa tovuti hii inaweza kuwa imeunganishwa na kurasa nyingine, ambazo hazihusiani na sera hii ya faragha. Endapo mtumiaji ana swali lolote au hoja kuhusu sera hii ya faragha au faragha ya mtumiaji wakati anapotumia tovuti hii, anaweza kuwasiliana nasi moja kwa moja kwa kutuma barua pepe kupitia anuani info@tmb.go.tz. Tovuti hii haikusudiwi kukusanya taarifa binafsi za watumiaji isipokuwa pale watembeleaji wanapoamua kutoa taarifa zao kwa hiari bila kulazimishwa. Baadhi ya taarifa zitakazopatikana kwa kutembelea kwako tovuti ya Bodi zinaweza kutunzwa ambazo ni pamoja na: Anuani ya barua pepe au tovuti uliyotumia kupakuwa tovuti ya Bodi ya Nyama Tanzania, tarehe na muda, jina la faili ulilotafuta na mada ulizoperuzi kwenye tovuti. Taarifa zilizokusanywa zitatumika kupata idadi ya wageni waliotembelea maeneo mbalimbali ya tovuti yetu na kutambua maeneo yenye changamoto. Pia tutatumia taarifa hizi kuboresha tovuti yetu na kuifanya iwe na manufaa. Tovuti ya Bodi ya Nyama Tanzania inaweza kutumia taarifa hizi kwa lengo la kufanya uchambuzi wa kitafiti. Taarifa binafsi hazikusanywi kwa sababu nyingine yoyote isipokuwa kufanyia kazi mahitaji yako. Taarifa zinazopatikana kupitia barua pepe yetu zitatumika tu kujibia hoja zako, na kusaidia kupata taarifa ulizoomba. Tutatoa taarifa hizi ulizotupatia kwa mdau mwingine wa Bodi ya Nyama Tanzania, endapo hoja zako zinaendana na hoja za mdau huyo au pale ilipoelekezwa kisheria.

Huduma

  • Huduma Zetu

Matangazo

  • BODI YA NYAMA TANZANIA KUANZA KUTUMIA MFUMO MKUU WA SERIKALI WA UKUSANYAJI MADUHULI (GePG) March 05, 2019
  • ORODHA YA WADAU WALIOSAJILIWA KUANZIA MWEZI SEPTEMBA HADI NOVEMBA 2018 February 25, 2019
  • WADAU WALIOSAJILIWA MIKOA YA TANZANIA BARA KUANZIA APRILI HADI AGOSTI 2018 February 11, 2019
Soma zaidi

Habari Mpya

  • add some text here to discribe the image

    Athari za matumizi ya Gogo kaztiaka uandaaji wa Nyama

    Sep 26, 2019
  • add some text here to discribe the image

    Wataalamu wa Bodi ya Nyama Tanzania (TMB) wakiwa katika picha ya pamoja na Wasambazaji

    Jul 31, 2019
  • add some text here to discribe the image

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi MHE Luhaga Mpina akiweka jiwe la msingi kiwanda cha Nyama cha TANCHOICE

    Mar 27, 2019
  • Habari Zaidi

Wasiliana Nasi

S.L.P 6085 DSM,

Veterinary Complex

131 Barabara ya Nelson Mandela,

Nukushi :
Simu : +255734210199
Barua pepe : info@tmb.go.tz

Kurasa za Karibu

  • Utaratibu wa kufanya biashara ndani/nje ya nchi
  • Usajili

Tovuti Mashuhuri

  • TARILI
  • TCCIA
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • TBS
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Mitandao ya Kijamii

  • Sera ya Faragha
  • Angalizo
  • MMM
  • Ramani Ya Tovuti

Copyright ©2017 Tanzania Meat Board . All rights reserved.
Designed and Developed by e-Government Authority (eGA). Inaendeshwa na TMB.