• MMM
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Bodi ya Nyama Tanzania

  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya Bodi
    • Bodi ya Wakurugenzi
  • Huduma
    • Usajili
    • Masoko
    • Ukaguzi
    • Ushauri wa Kiufundi
    • Utaratibu wa Kufanya Biashara ya Nyama na Bidhaa zake
      • Utaratibu wa kufanya Biashara ya Nyama ndani ya nchi
      • Utaratibu wa kufanya Biashara ya Nyama na Bidhaa za Nyama nje ya nchi
  • Machapisho
    • Sera
    • Sheria
    • Kanuni
    • Fomu
    • Vipeperushi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Taarifa za jumla
    • Hali ya Uzalishaji wa Nyama
    • Takwimu za Uingizaji/usafirishaji wa Nyama
  • Tozo
    • Tozo
    • Ada ya Usajili na Kubakisha
    • Ada za kuagiza na kuingiza Bidhaa za Nyama
  • Kikokotozi
  • Mwanzo

Angalizo

ANGALIZO Taarifa zinazoonekana kwenye tovuti ya Bodi ya Nyama Tanzania zinaletwa kwenu “kama zilivyo”. Licha ya kwamba taarifa hizo zinasimamiwa na vifungu vya Sheria za Makosa ya Kimtandao ya Mwaka 2015, Elektroniki na Mawasiliano ya Posta ya Mwaka 2010 na Sheria ya Hati miliki na haki za Ujirani ya Mwaka 1999 kuhusiana na uwepo na uendelevu wa taarifa hizo, huduma baada ya kutengenezwa kwa tovuti na uhalisia wa taarifa zake. Bodi ya Nyama Tanzania, wafanyakazi wake na wenye mamlaka ya kusimamia hawatahusika na taarifa zozote zilizobadilishwa ambazo hazikuwekwa na Bodi ya Nyama katika tovuti hii ikiwa ni pamoja na kutofungamana na upande wowote ule, kwa sababu yoyote ilea ma kwa kosa lililotendeka kufuatia kuwepo kwa taarifa mtandaoni ambazo hazijawekwa na Bodi ya Nyama Tanzania. Ili kuhakikisha uhalisia wa taarifa hususan wakati wadau wanapojihusisha na masuala ya biashara, watumiaji na wadau wengine wanashauriwa kutembelea ofisi za Bodi ya Nyama Tanzania au kuandika barua ya kiofisi kupitia anuani ifuatayo: - Bodi ya Nyama Tanzania, S.L.P 6085, Mikocheni, Regent Estate, Mtaa wa Ursino, Nyumba Na. 13, Dar es Salaam.

Huduma

  • Huduma Zetu

Matangazo

  • BODI YA NYAMA TANZANIA KUANZA KUTUMIA MFUMO MKUU WA SERIKALI WA UKUSANYAJI MADUHULI (GePG) March 05, 2019
  • ORODHA YA WADAU WALIOSAJILIWA KUANZIA MWEZI SEPTEMBA HADI NOVEMBA 2018 February 25, 2019
  • WADAU WALIOSAJILIWA MIKOA YA TANZANIA BARA KUANZIA APRILI HADI AGOSTI 2018 February 11, 2019
Soma zaidi

Habari Mpya

  • add some text here to discribe the image

    Athari za matumizi ya Gogo kaztiaka uandaaji wa Nyama

    Sep 26, 2019
  • add some text here to discribe the image

    Wataalamu wa Bodi ya Nyama Tanzania (TMB) wakiwa katika picha ya pamoja na Wasambazaji

    Jul 31, 2019
  • add some text here to discribe the image

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi MHE Luhaga Mpina akiweka jiwe la msingi kiwanda cha Nyama cha TANCHOICE

    Mar 27, 2019
  • Habari Zaidi

Wasiliana Nasi

S.L.P 6085 DSM,

Veterinary Complex

131 Barabara ya Nelson Mandela,

Nukushi :
Simu : +255734210199
Barua pepe : info@tmb.go.tz

Kurasa za Karibu

  • Utaratibu wa kufanya biashara ndani/nje ya nchi
  • Usajili

Tovuti Mashuhuri

  • TARILI
  • TCCIA
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • TBS
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Mitandao ya Kijamii

  • Sera ya Faragha
  • Angalizo
  • MMM
  • Ramani Ya Tovuti

Copyright ©2017 Tanzania Meat Board . All rights reserved.
Designed and Developed by e-Government Authority (eGA). Inaendeshwa na TMB.