Bodi itaundwa na Mwenyekiti na wajumbe wengine walioteuliwa na Waziri kama ifuatavyo:
(a) mjumbe mmoja anayewakilisha Wizara yenye dhamana na Mifugo;
(b) mjumbe mmoja anayewakilisha Wizara yenye dhamana na Serikali za mitaa;
(c) mjumbe mmoja anayewakilisha taasisi yenye dhamana ya udhibiti ubora wa vyakula;
(d) mjumbe mmoja anayewakilisha taasisi zenye dhamana ya kufanya utafiti katika maendeleo ya tasnia ya nyama;
(e) mjumbe mmoja mwenye elimu ya uchumi kilimo; na
(f) wajumbe watatu kutoka sekta binafsi.
S.L.P 1344 DODOMA,
Area D, Mtaa wa Ndugai,
Barabara ya Magufuli
Nukushi : Simu : +255734210199 Barua pepe : barua@tmb.go.tz
Copyright ©2017 Tanzania Meat Board . All rights reserved.
Designed and Developed by e-Government Authority (eGA). Inaendeshwa na TMB.