Bodi inaundwa na wajumbe wanaoteuliwa na Waziri mwenye dhamana ya Sekta ya mifugo wasiozidi kumi na tano (15) kama inavyoonyeshwa hapa chini;
1.Mwenyekiti;
2.Katibu ambaye ni Msajili wa Bodi
3.Wajumbe wawili toka Chama cha Wazalishaji wa Mifugo
4.Mjumbe mmoja toka Chama cha Wafanyabiashara ya Mifugo na Nyama
5.Mjumbe mmoja toka Chama cha Wasindikaji wa Nyama
6.Mjumbe mmoja mwakilishi wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika
7.Mjumbe mmoja mwakilishi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi
8.Mjumbe mmoja mwakilishi wa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
9.Mjumbe mmoja mwakilishi wa Wizara ya Fedha
10.Mjumbe mmoja mwakilishi wa Chuo Kikuu cha Kilimo
11.Mjumbe mmoja mwakilishi wa Taasisi ya Chakula na Madawa (TFDA)
12.Mjumbe mmoja mwakilishi wa Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA)
13.Mjumbe mmoja toka chama cha wasambazaji wa Pembejeo
14.Mjumbe mmoja toka chama cha Walaji
S.L.P 6085 DSM,
Veterinary Complex
131 Barabara ya Nelson Mandela,
Nukushi : Simu : +255734210199 Barua pepe : info@tmb.go.tz
Copyright ©2017 Tanzania Meat Board . All rights reserved.
Designed and Developed by e-Government Authority (eGA). Inaendeshwa na TMB.