• MMM
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Bodi ya Nyama Tanzania

  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya Bodi
    • Bodi ya Wakurugenzi
  • Huduma
    • Usajili
    • Masoko
    • Ukaguzi
    • Ushauri wa Kiufundi
    • Utaratibu wa Kufanya Biashara ya Nyama na Bidhaa zake
      • Utaratibu wa kufanya Biashara ya Nyama ndani ya nchi
      • Utaratibu wa kufanya Biashara ya Nyama na Bidhaa za Nyama nje ya nchi
  • Machapisho
    • Sera
    • Sheria
    • Kanuni
    • Fomu
    • Vipeperushi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Taarifa za jumla
    • Hali ya Uzalishaji wa Nyama
    • Takwimu za Uingizaji/usafirishaji wa Nyama
  • Tozo
    • Tozo
    • Ada ya Usajili na Kubakisha
    • Ada za kuagiza na kuingiza Bidhaa za Nyama
  • Kikokotozi

Kaimu Msajili

Bw. IMANI PAULO SICHALWE
Science in Tropical Animal Production

Bwana Imani Paulo Sichalwe, ni Mtaalam katika sayansi ya wanyama mwenye Shahada ya Uzamili katika Uzalishaji wa wanyama katika ukanda wa kitropiki (Mbobezi katika Sayansi ya Nyama ) kabla ya hapo alikuwa na shahada ya Sayansi katika Sayansi ya Wanyama aliyoipata katika Chuo Kikuu cha Kilimo-Morogoro Sokoine.

Hivi sasa, anafanya kazi ya Kaimu Msajili wa Bodi ya Nyama Tanzania iliyopo chini ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi. Kabla ya kuchaguliwa kwake, alishawahi kufanya kazi ya Ualimu katika Shule ya Sekondari ya Pugu muda wa mwaka mmoja na alikuwa Mkufunzi Mwandamizi wa Mifugo huko LITA-Tengeru, Arusha kwa miaka 12 mpaka alipopata uteuzi wa kuwa Kaimu Msajili wa Bodi ya Nyama Tanzania.

Mbali na kiwango cha elimu na uzoefu uliotajwa hapo juu, pia amehudhuria warsha kadhaa za kujenga uwezo zikiwa ni pamoja na – Matumizi ya Majedwali ya Mchanganyo wa vyakula vya mifugo na matumizi yake kama ilivyowezeshwa na ASARECA katika Chuo Kikuu cha Kilimo - SOKOINE, Mafunzo ya muda mfupi juu ya mbinu za ufundishaji na kupewa cheti cha (TOT) kama yalivyowezeshwa na ADEM-Bagamoyo, mafunzo ya muda mfupi juu ya ufanisi wa Maendeleo ya Uchumi Vijijini juu ya Kilimo, mafunzo yaliyofanyika LITA-Tengeru na kuwezeshwa na RECODA TZ, mafunzo na kupewa cheti juu ya utunzaji wa Ng’ombe wa maziwa na uzalishaji kama yalivyowezeshwa na COCHRAN nchini Amerika ya Kaskazini, mafunzo na kupewa cheti juu ya Usimamizi wa Taasisi na Mipango ya Biashara (INTERNATIONAL) yaliyofanyika nchini Uingereza.

.

Huduma

  • Huduma Zetu

Matangazo

  • BODI YA NYAMA TANZANIA KUANZA KUTUMIA MFUMO MKUU WA SERIKALI WA UKUSANYAJI MADUHULI (GePG) March 05, 2019
  • ORODHA YA WADAU WALIOSAJILIWA KUANZIA MWEZI SEPTEMBA HADI NOVEMBA 2018 February 25, 2019
  • WADAU WALIOSAJILIWA MIKOA YA TANZANIA BARA KUANZIA APRILI HADI AGOSTI 2018 February 11, 2019
Soma zaidi

Habari Mpya

  • add some text here to discribe the image

    Athari za matumizi ya Gogo kaztiaka uandaaji wa Nyama

    Sep 26, 2019
  • add some text here to discribe the image

    Wataalamu wa Bodi ya Nyama Tanzania (TMB) wakiwa katika picha ya pamoja na Wasambazaji

    Jul 31, 2019
  • add some text here to discribe the image

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi MHE Luhaga Mpina akiweka jiwe la msingi kiwanda cha Nyama cha TANCHOICE

    Mar 27, 2019
  • Habari Zaidi

Wasiliana Nasi

S.L.P 6085 DSM,

Veterinary Complex

131 Barabara ya Nelson Mandela,

Nukushi :
Simu : +255734210199
Barua pepe : info@tmb.go.tz

Kurasa za Karibu

  • Utaratibu wa kufanya biashara ndani/nje ya nchi
  • Usajili

Tovuti Mashuhuri

  • TARILI
  • TCCIA
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • TBS
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Mitandao ya Kijamii

  • Sera ya Faragha
  • Angalizo
  • MMM
  • Ramani Ya Tovuti

Copyright ©2017 Tanzania Meat Board . All rights reserved.
Designed and Developed by e-Government Authority (eGA). Inaendeshwa na TMB.