• MMM
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Bodi ya Nyama Tanzania

  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Majukumu ya Bodi
    • Bodi ya Wakurugenzi
  • Huduma
    • Usajili
    • Masoko
    • Ukaguzi
    • Ushauri wa Kiufundi
    • Utaratibu wa Kufanya Biashara ya Nyama na Bidhaa zake
      • Utaratibu wa kufanya Biashara ya Nyama ndani ya nchi
      • Utaratibu wa kufanya Biashara ya Nyama na Bidhaa za Nyama nje ya nchi
  • Mfumo Usajili/Vibali
  • Machapisho
    • Sera
    • Sheria
    • Kanuni
    • Fomu
    • Vipeperushi
  • Taarifa za jumla
    • Hali ya Uzalishaji wa Nyama
    • Takwimu za Uingizaji/usafirishaji wa Nyama
  • Tozo
    • Tozo
    • Ada ya Usajili na Kubakisha
    • Ada za kuagiza na kuingiza Bidhaa za Nyama
  • Home
  • Page title

Katazo la Matumizi ya Magogo, Nondo zenye kushika Kutu na Dawa ya Mbu katika Maduka ya Kuuza Nyama


BODI YA NYAMA TANZANIA(TMB)

TANGAZO KWA UMMA

“KATAZO LA MATUMIZI YA MAGOGO, NONDO ZENYE KUSHIKA KUTU NA DAWA YA MBU KATIKA MADUYA KUUZA NYAMA”

Bodi ya Nyama Tanzania inapenda kuwajuza wamiliki wa maduka ya kuuza Nyama (mabucha) na umma wa Watanzania kwa ujumla kuwa,mabucha yote yanatakiwa Kutumia misumeno ya kisasa kukatia Nyama,nondo za aluminium kuning'inizia Nyama na majokofu wakati wa kutoa huduma kwa walaji.Aidha bucha zinatakiwa kuwa katika usafi ikiwemo kuwa na wavu wa kioo ilikuzuia uingiaji wa wadudu Warukao buchani na sio kutumia dawa ya mbu katika kuua wadudu hao.Pia,wauzaji wote Wa nyama mabuchani wanatakiwa kupima afya kila baada ya miezi sita,kuvaa Mabuti meupe na makoti meupe wakati wote wa kuuza nyama. kutumia magogo,nondo zenye kushika kutu,dawa ya mbu, kutopima afya na kutovalia mavazi maalumu ni kosa kisheria, n aadhabu yake kwa kila kosa ni kifungo kisichozidi miezi minne au faini isiyo pungua laki moja au vyote Kwa pamoja,

kifungo na faini Wananchi wanasisitizwa kuepuka kununua Nyama kwenyemabucha yote yasiyokuwa nasifahizi.

Tafadhali,toa taarifa juu ya uwepo wa bucha linalokiuka tararibu hizi kwa kuwasiliana na Bodi ya NyamaTanzania kupitia barua pepe barua@tmb.qo.tz au kwa kupiga simu Nambari 0734996218 au kwa kuwasilisha taarifa katika ofisi za kanda za Bodi ya Nyama zilizopo Arusha Mwanza,Tabora,Dar-es-salaam na Mbeya au kwa kuwasiliana na Afisa mifugo aliye karibu nawe.

Bodi itaendelea na ukaguzi wa mabucha mara zote ilikuwabaini wale wote wanao hatarisha afya za walaji kwa kukiuka taratabu hizi na kuwachukulia hatua kwa Mujibu wa sheria

IMETOLEWA NA OFISI YA MSAJILI,

BODI YA NYAMA TANZANIA,

DODOMA,

TAREHE 26 JULAI,2022.

Huduma

  • Huduma Zetu

Matangazo

  • TAARIFA YA MIFUGO KATIKA MNADA WA PUGU KWA WIKI INAYOISHIA DISEMBA 9, 2022 December 13, 2022
  • Mgawanyo wa Masoko Novemba 2022 December 13, 2022
  • orodha ya machinjio yaliyoidhinishwa kwa mauzo ya nje September 26, 2022
  • Wasafirishaji wa bidhaa za nyama waliosajiliwa na bodi ya nyama Tanzania September 26, 2022
Soma zaidi

Habari Mpya

  • add some text here to discribe the image

    Ripoti ya Taarifa ya Soko la Mifugo (Shoat) kwa Wiki inayoisha tarehe 20 Januari, 2022

    Jan 25, 2023
  • add some text here to discribe the image

    Taarifa ya Soko la Mifugo (Ng'ombe) kwa Wiki ya Wiki inayoisha tarehe 20 Januari 2022.

    Jan 25, 2023
  • add some text here to discribe the image

    Taarifa ya Soko la Mifugo (Ng'ombe) kwa Wiki ya Wiki inayoisha tarehe 20 Januari 2022.

    Jan 25, 2023
  • Habari Zaidi
Tanzania Census 2022

Wasiliana Nasi

S.L.P 1344 DODOMA,

Area D, Mtaa wa Ndugai,

Barabara ya Magufuli

Nukushi :
Simu : +255734210199
Barua pepe : barua@tmb.go.tz

Kurasa za Karibu

  • Utaratibu wa kufanya biashara ndani/nje ya nchi
  • Usajili

Tovuti Mashuhuri

  • TCCIA
  • Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
  • TBS
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi
  • Wakala ya Serkali Mtandao

Mitandao ya Kijamii

  • Sera ya Faragha
  • Angalizo
  • MMM
  • Ramani Ya Tovuti

Copyright ©2017 Tanzania Meat Board . All rights reserved.
Designed and Developed by e-Government Authority (eGA). Inaendeshwa na TMB.